Leo ndiyo leo Miss Tanzania 2011
Ule mchakato wa kutafuta kimwana wa Tanzania mwaka 2011, sasa umeshafikia kutamu kwamaandalizi yote kuwa tayari na hatmaye washiriki leo kuchuana live kwa kumtafuta Miss Tanzania Voda Com 2011, ambaye atakuja kuiwakilisha Tanzania kwenye Miss World.
Maandalizi yote tayari na mashindano hayo yatafanyika pale mlimani City, hakika si jambo la kukosa kwani kila mmoja ataweza kujionea urembo wa walimwende hao, ambao watakuwa mabarozi wazuri wa nchi yetu pindi wakifika kwenye mataifa mengine wakati wa mchakato huo.
Warembo wakiwa kwenye mazoezi ya mwisho siku ya ijumaa, kabla ya kuingia kwenye jukwaa leo na mmoja wapo kuiwakilisha Tanzania kwenye medali ya Urembo.
makamera nayo yaliandaliwa kwaajili ya kuweka mambo sawa
Kama hujawahi kumuona Michael Jackson Live, leo ukija utamuona pacha wake aliyezaliwa Tanmzania, huyu hapa anaitwa John
Diamond naye alikuwepo kwaajili ya kushuhudia mamisi wakijiandaa
kwa nje mambo yalikuwa kama hivi,