Burudani
Like Father Like Son: Fid Q na Stamina kushare stage Billcanas Jumapili hii
Jumapili hii baba na mwana katika Hip Hop ya Tanzania watashare stage moja pale Club Billcanas kwenye show iliyopewa jina la Like Father Like Son. Baba ni Fid Q na mwana ni Stamina. Tayari mtu na mwanae wameshafanya ngoma kadhaa ukiwemo unaofanya vizuri kwa sasa, Wazo la Leo.