Mahojiano

Lilommy: Siendeshwi kwenye kazi Diamond ni CEO lakini anasubiri kwenye interview, Alikiba na Harmonize sijawatafuta wakikataa sawa (+Video)

Katika mahojiano ambayo Bongo5 tulifanya na mtangazaji wa kituo cha habari cha Wasafi Media Omary Rajabu Tambwe alimaarufu @lilommy ambapo aliongelea suala la yeye kuchaguliwa kuwani tuzo ya AEAUSA kama mtangazaji bora Afrika tulipiga stori zingine pia.

Tambwe alizungumzia suala la @diamondplatnumz kufanyiwa mahojiano na Grammy lakini pia yeye akiwa kama Mtangazaji kuzikosa baadhi ya Interview za wasanii kama @officialalikiba na @harmonize_tz baada ya kujiunga na Wasafi media.

 

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents