Burudani
Linah kuing’arisha ngoma mpya ya Dezert Eagle ‘Utaipenda Je?’
Msanii Desert Eagle mwenye asili ya Kongo, aliyekulia na kusomea Tanzania na kwenda kuishi nchini Australia anatarajia kuachia wimbo aliomshirikisha Linah.
Desert Eagle na Linah wakiwa kwenye studio ya Mazuu Records
Ameiambia Bongo5 kuwa ameshakamilisha ngoma kadhaa katika studio tofauti ukiwemo ‘Utaipendaje’ aliomshirikisha Linah na kurekodi kwenye studio za Mazuu Records. Awali msanii huyo alimshirikisha Diamond Platnumz.