Michezo
Lionel Messi amekuwa mchezaji wa kwanza kufikisha magoli 301 katika Ligi Kuu ya Hispania
Mshambuliaji wa Barcelona, Lionel Messi amekuwa mchezaji wa kwanza kufikia bao la 301 katika La Liga katika Ligi Kuu ya Hispania, maarufu kama La Liga.
Messi alifunga goli la 300 dakika ya 25, alifunga pia la 301 dakika ya 31 wakati lile la Luis Suarez lilikuwa dakika ya 67, Suarez dakika ya 67 ambaye pia alikosa penalti kwenye mchezo huo huku goli la wenyeji likifungwa na Castro Garcia dakika ya 27. Barca sasa wako point sita kileleni.