Michezo

Lionel Messi amekuwa mchezaji wa kwanza kufikisha magoli 301 katika Ligi Kuu ya Hispania

Mshambuliaji wa Barcelona, Lionel Messi amekuwa mchezaji wa kwanza kufikia bao la 301 katika La Liga katika Ligi Kuu ya Hispania, maarufu kama La Liga.

31521FDD00000578-0-image-a-4_1455735172012

Messi alifunga goli la 300 dakika ya 25, alifunga pia la 301 dakika ya 31 wakati lile la Luis Suarez lilikuwa dakika ya 67, Suarez dakika ya 67 ambaye pia alikosa penalti kwenye mchezo huo huku goli la wenyeji likifungwa na Castro Garcia dakika ya 27. Barca sasa wako point sita kileleni.

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents