Habari
#LIVE: Mazishi ya C Pwaa, Alikiba ashusha dua nzito (+Video)
Mazishi ya msanii wa Bongo Fleva maarufu kama C Pwaa ambaye amefariki kwa Imonia amezikwa leo katika makaburi ya Mwinjuma jijini Dar es Salaam huku mastaa mbalimbali wakiwa wamehuria akiwemo Alikiba, Fid Q, Madee na wengine.
Kuangalia Video bofya HAPA