Michezo

Liverpool yatinga fainali ya Capital One

klabu ya Liverpool imefanikiwa kutinga katika hatua ya fainali ya michuano ya Capital One Cup baada kupata ushindi wa penati 6-5 dhidi ya kikosi kigumu cha klabu ya Stoke City.

article-3418251-309BFCC100000578-189_964x390

Beki Marc Muniesa ndiye aliyekosa penati ya mwisho ya Stoke baada ya kuokolewa na kipa Simon Mignolet, huku kiungo Joe Allen akifunga penati ya mwisho ya ushindi.

309BF02500000578-3418251-The_Reds_players_followed_Borussia_Dortmund_s_lead_and_held_thei-a-44_1453861029847

Liverpool wanasubiri mshindi wa mchezo mwingine wa nusu fainali unaochezwa leo kati ya Manchester City watakaokua katika uwanja wao wa Etihad wakiwaalika Everton.

Everton wanaongoza kwa ushindi wa mabao 2-1, waliyopata katika mchezo wa kwanza.

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents