Michezo

Luis Suarez apigwa marufuku kucheza mechi 9 za kimataifa

Shirikisho la soka duniani, FIFA, limempiga marufuku mshambuliaji wa Uruguay, Luis Suarez kucheza mechi 9 za kimataifa na miezi minne ya kutojihusisha na shughuli yoyote ya soka.

b0b3bf49cbe910010bc5fa3abd7be78b

Mshambuliaji huyo wa Liverpool ambaye ameshawauma kwa meno wachezaji watatu katika career yake,atakosa pia mechi nyingi za ligi kuu ya England. Adhabu hiyo ni kubwa zaidi kuwahi kutolewa na FIFA lakini mshambualiji huyo ana haki ya kukata rufaa na anaruhusiwa kuhama vilabu ndani ya miezi hiyo minne.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents