Mahojiano
Lukamba aeleza alivyokutana na Diamond ” Harmonize alikuwa birthday moja na Diamond sijui kwanini hajafanya” – Video
Lukamba aeleza alivyokutana na Diamond " Harmonize alikuwa birthday moja na Diamond sijui kwanini hajafanya" - Video
Mpiga picha wa C.E.O wa WCB Wasafi Media Diamond Platnumz ambaye pia ni Director Lukamba ameeleza kiundani zaidi kuhusu maisha yake lakini pia jinsi alivyokutana na Boss wake Diamond Platnumz. Lukamba ameeleza pia historia yake kabla ya kufanya kazi na Diamond alivyopambana na Lavalava na baada ya hapo walikuana na ndugu yake Diamond Ricardo Momo na kuwaunganishia na Diamond.
Lukamba aliongelea pia usumbufu aliokuwa anaupata kutoka kwa Zari na kudai kwamba kati ya wanawake wote wa Diamond Zari ndio alikuwa msumbufu.
By Ally Juma.