Habari
Maafisa mawasiliano serikalini kupimwa kiutendaji
Serikali kupitia Idara ya Habari – Habari itaanza kuwawekea malengo na kuwapima kiutendaji maafisa mawasiliano wote serikalini kwa lengo la kuboresha utendaji wao katika utoaji wa habari na taarifa kwa umma.
Hii ni taarifa yake:
Na Emmy Mwaipopo