Habari
Maalim Seif ajibu kuhamia ACT Wazalendo na majengo ya CUF Zanzibar, kugombea urais 2020 na bifu lake na Lipumba (+video)
Aliyekuwa Katibu Mkuu wa CUF ambaye kwa sasa amejiunga na ACT Wazalendo, Maalim Seif amejibu maswali matano KONKI aliyoulizwa na waandishi wa habari leo Machi 19, 2019 katika makao makuu ya ACT Wazalendo.