Burudani
Mad Ice kuimba na washiriki wa BSS wiki hii
Wasanii wa shindano la kumtafuta mkali wa kuimba muziki linalojulikana kama Bongo Star Search Second Chance 2011, ambalo limeingia katika hatua ya sita bora jana lilitembelewa na mwanamuziki wa kitanzania Mad Ice anayefanya kazi zake nje ya nchi
Wasanii hao walitembelewa wakiwa katika kurekodi katika kipindi cha wiki hii,……..
Mkali wa Bss Roger akiwa na mkewe….
Mwalimu wa muziki kwa wasnii wa Bss.
Hapa Betrice William akiwa na Bab Junior wa Sharobaro Record
Sharobaro
Allan Mapigo