Burudani
Maelfu wamzika marehemu Godzilla makaburi ya Kinondoni Dar (Video)
Msanii wa muziki, Godzilla aliyefariki dunia Jumatatu wiki hii baada ya kuugua ghafla amezikwa na maelfu ya watu katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar es salaam.
Msanii wa muziki, Godzilla aliyefariki dunia Jumatatu wiki hii baada ya kuugua ghafla amezikwa na maelfu ya watu katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar es salaam.