Habari
Maeneo ya msiba si sehemu ya kufanya siasa – Naibu waziri Mabula (+video)
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Angelina Mabula amesema si jambo jema watu kufanya siasa kwenye misiba kwani si sehemu yake ni sehemu ya kufarijiana.