Siasa
Mafuriko jijini Dar es Salaam
Jangwani
Jiji la Dar es Salaam limekumbwa na mafuriko kutokana an mvua kubwa zinazoendelea kunyesha, inasemekana kwamba haijawahi kutokea mvua kubwa kama hii ndani ya siku moja tangu mwaka 1954.
Tumepata taarifa kwamba wanajeshi wanajaribu kuokoa wananchi katika baadhi ya maeneo na jitihada zinaendelea. Kwa kupitia ukurasa wake wa Twitter Rasi Kikwete ametangzasa namba ya kutummia kwa kutoa taarifa juu ya mafuriko ambayo ni +255-754-777775 ama kupitia hashtag ya Twitter #DarFloods
Picha hizi za maeneo yalioathirika zimepigwa na Wadau mbali mbali wakiwemo Bilal Ahmed, Issa Michuzi, Global Publishers na wengine.
Tutaendela kuwaletea taarifa zaidi pamoja picha