Mitindo

Mahaba ya Wanafunzi kwa Miriam Odemba baada ya msaada ya kisima cha Maji Mkuranga (Video)

Hizo ni shangwe za wanafunzi wa shule ya Msingi Kiwambo wilayani ya Mkuranga mkoa wa Pwani baada ya kukuona mwanamitindo Miriam Odemba ambaye amejenga kisima cha maji shuleni.

Nayo taasisi ya African Reflections Foundation chini ya mlezi wake, Mama Mary Vonne ambaye ni balozi wa Shelisheli nchini Tanzania, ambapo Alhamisi hii amekabidhi visima viwili vya maji kwa shule mbili za msingi zilizopo wilayani Mkuranga.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents