Burudani
Maisha ya THT ni kama ya mtaani tu, napata tabu sana wanaponifananisha na Aslay – Jay Melody (+video)
Msanii wa muziki anayekuja kwa kasi kutoka THT, Jay Melody kwa mara ya kwanza kwenye mahojiano yake na Bongo5 amefunguka ishu kibao kuhusu maisha ndani ya THT pia na ishu ya watu kufananisha muziki wake na Aslay.
Bado ujamfikia wanaokufananisha nae wanataka kukushusha wewe ni wewe na aslay ni aslay,,,kila mtu bora kwnye ubora wake,,,
Jay melody kwenye video hauna swagga yaani unakuaga kama unaogopa camera hivi.
Wanakup kichwaaa 2 we kamwag ugaliiii 2
Fanya Sehem yk
Kaza sana man….fanya kitu zaidi ya goroka ubarikiwe
Mbna Naona Kama Ww Ni Aslay Afu Unasema Kwamba Ww Sio Aslay Hahaha