Michezo
Majina 10 ya wachezaji wanaowania tuzo ya mchezaji bora wa dunia yatangazwa, Neymar akalia kuti kavu
Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) limetangaza majina 10 ya wachezaji wa kiume wanaowania tuzo ya FIFA ya mchezaji bora wa mwaka 2017/18.
Kitu cha kushangaza kwenye orodha hiyo jina la Neymar na Pogba ambao mwaka jana waliingia kwenye orodha hiyo mwaka huu hawajafanikiwa kuingia.
Orodha ya majina hayo ni Cristiano Ronaldo (Juventus), Kevin De Bruyne (Man City), Antoine Griezmann (Atletico Madrid), Eden Hazard (Chelsea), Harry Kane (Spurs), Kylian Mbappe (PSG), Lionel Messi (Barcelona), Luka Modric (Real Madrid), Mohamed Salah (Liverpool) na Raphael Varane (Real Madrid) .
Majina haya yamechujwa kuanzia tarehe 3 Julai 2017 hadi Julai 15, 2018 na tuzo zitatolewa mwezi Septemba 24, 2018 jijini London Uingereza.
Mshindi ni yule yule cristiano renaldo
CR7
Crying like a baby to referee when there is no any foul committed is absolutely huge burden for Neymar….Ballon D’or still a daydream for him
Cr7
Neymar ni overrated ” hamna kitu mule
Cr7
Mmbape
Cr7