Burudani

Makalio feki ya muumbua Blac Chyna

Mwanamitindo ambaye alikumbwa na sekeseke la kudhalilishwa na mzazi mwenzake Rob Kardashian, Blac Chyna ameingia katika vichwa vya habari baada ya makalio yake kumuumbua.

Chyna ambaye ni rafiki mkubwa wa Amber Rose amejikuta akiaibika punde baada ya paparazi kuzinasa picha zake na kuzoom.

Na Laila Sued

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents