Habari
Makamu wa Rais aeleza mpango wa serikali kwa wanawake (+video)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu ameeleza mipango mingi iliyopangwa na serikali kwa wanawake wote nchini ikiwa leo ni siku ya wanawake duniani.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu ameeleza mipango mingi iliyopangwa na serikali kwa wanawake wote nchini ikiwa leo ni siku ya wanawake duniani.