Habari
Makamu wa Rais afungua kongamano la elimu ya juu (+Picha)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo amefungua Kongamano la Elimu ya Juu na Tanzania ya Viwanda lililoandaliwa na Chuo Kukuu Huria cha Tanzania kwa kushirikiana na Uongozi wa mkoa wa Simiyu.