Michezo

Makamu wa rais wa TFF, Michael Wambura apigwa ‘STOP’ kwenye soka maisha

Kamati ya maadili ya TFF, imemfungia kifungo cha maisha kutojihusisha na shughuli za soka Makamu Mwenyekiti wa shirikisho hilo, Michael Wambura.

Wambura amekutana na adhabu hiyo nzito kutokana na kupokea fedha zisizo halali kiasi cha shilingi milioni 84 na makosa mengine matatu.

Makaosa hayo mengine matatu aliyokutwa nayo Wambura, ni kugushi nyaraka za malipo ya fedha, na kula njama kulipwa fedha na waliokua viongozi wa TFF Malinzi na Mwesigwa.

Kamati hiyo ya maadili imefikia maamuzi hayo kwenye kikao chao walichokutana jana (Jumatano).

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents