Burudani

Makihiyo na Ben Pol sasa ‘Ni Wako’ (Video)

Muimbaji wa muziki ambaye ni raia wa Norway, Makihiyo ameachia wimbo wake mpya ‘Ni Wako’ akiwa amemshirikisha mkali wa muziki wa R&B Ben Pol.

 

Akiongea na Bongo5 Jumanne hii, Makihiyo amesema Ben Pol ni mmoja kati ya wasanii wake bora kutokana na namna anavyobadilika kila wakati na kutoa kazi nzuri ambazo zinawavutia watu wa rika zote.

Muimbaji huo amedai wimbo ‘Ni Wako’ ni wimbo waliouandaa kwaajili ya watu wapendanao.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents