Michezo

Makocha wasio na vyeti kukutana na rungu 2020, Ammy Ninje awatangazia kiama ‘Kama huna vyeti hutofundisha ligi yoyote Tanzania'(+video)

Mkurugenzi wa ufundi wa shirikisho la mpira wa miguu nchini TFF, Ammy Ninje ametangaza kuanzia mwakani kocha yoyote asiyekuwa na vyeti hatoruhusiwa kufundisha ligi kuu na nyenginezo hivyo wanayonafasi ya kujiunga na mafunzo yanayotolewa na makocha kutoka Southampton kupitia kampuni ya Sportpesa ili kujiongezea ujuzi.

 

 

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents