Habari

Makonda amsimamisha kazi Afisa Utumishi Ilala

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amemsimamisha kazi Afisa Utumishi wa wilaya ya Ilala baada ya kushindwa kujua wafanyakazi hewa 11 waliokuwepo kwenye wilaya hiyo.

Poul Makonda

Hatua hiyo imechukuliwa hii leo katika kikao chake na wakuu wa wilaya wakiwemo maafisa wote wa mkoa mzima.

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents