Michezo

Makundi ya timu 16 AFCON 2015 yatangazwa

Orodha ya makundi ya timu 16 zilizofuzu kucheza fainali za mashindano ya 30 ya kuwania kombe la Mataifa ya Afrika mwaka 2015 imetoka. Mashindano hayo yatafanyika katika mji mkuu wa Equatorial Guinea, Malabo kuanzia Januari 17, 2015.

africacupofnations_shkzvwhv6ezr1s48is3xs2ekk

Awali michuano hiyo ilikuwa ifanyike nchini Morocco kabla ya kuhamishiwa nchini Equatorial Guinea. Mabingwa watetezi Nigeria ni moja ya timu kubwa zilizoshindwa kufuzu kucheza fainali za mwakani, pamoja na Misri na Angola ambazo zote kwa mshangao hazitaweza kushiriki.

Kundi A

Equatorial Guinea

Gabon

Burkina Faso

Congo Brazzaville.

Kundi B

Zambia

Tunisia

Cape Verde

Congo Drc

Kundi C

Ghana

Afrika Kusini

Senegal

Algeria

Kundi D

Ivory Coast

Cameroon

Guinea

Mali

Related Articles

Leave a Reply

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents