Habari

Makusanyo ya kodi yaongezeka asilimia 1.2

Mamlaka ya Mapato Tanzania imetoa ripoti ya makusanyo ya kodi ya kipindi cha kwanza cha robo ya mwaka wa fedha wa 2017/18, ambapo kuanzia mwezi Julai hadi septemba Serikali imekusanya kiasi cha Tsh Trilioni 3.65 .

Makusanyo hayo kwa miezi mitatu ni sawa na ongezeko la asilimia 1.2 ikilinganishwa na makusanyo ya kipindi kama hicho cha mwaka wa fedha wa 2016/17.

Makusanyo ya kodi ni kama ifuatavyo.

Mwezi Julai – Tsh trilioni 1.1

Mwezi Agosti- Tsh trilioni 1.2

Mwezi Septemba- Tsh trilioni 1.3

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents