Burudani
Mama ashindwa kujizuia baada ya watoto wake wa 3 kutinga fainali na mmoja kushinda taji Miss TZ 2019 ”Naitwa Mrs Manoti” (+Video)
Mama kutoka mkoani Mwanza ashindwa kuzuia furaha yake baada ya watoto wake watatu (3) kuingia 10 bora kisha kuingia tena na tano ( 5 ) bora ya Mashindano ya Miss Tanzania 2019 huku mmoja akishinda Taji hilo kwa kuwa Miss Tanzania 2019.