Bongo Movie
[Video] Mama yake mzazi Kanumba afungukua juu ya kifo cha Mwanae
[youtube]http://www.youtube.com/watch?v=DzblJ4B_W90[/youtube]
Mama yake mzazi marehemu Kanumba alikuwa safarini Muleba, Bukoba alipopata taarifa juu ya kifo cha mwanae. Taratibu za mazishi zinaendelea kuoangwa na tutawapa ratiba kamili punde itakapopatikana. Kwa sasa tunajua kwamba mazishi yatafanyika siku ya Jumanne na Mama yake amependekeza Kanumba azikwe jijini Dar es Salaam.