Michezo
Dakika 45 za kipindi cha kwanza hatari Uwanjani wa Taifa Simba V Yanga (Picha)
Kipindi cha kwanza kimemalizika mtanange wa watani wa jadi Simba SC dhidi ya mahasimu wao Yanga SC huku hakuna timu iliyo bahatika kuona lango la mwenzake,.
Picha zinazoonesha matukio ya uwanjani
By Hamza Fumo na Yasini Ngi’tu