Habari
Mambosasa atoa ripoti ya athari za mvua Dar, watoto wawili wafariki (Video)
Mvua inayoendelea kunyesha Dar es Salaam imesababisha vifo vya watoto wawili, imeharibu miundombinu ya majengo ikiwemo ya shule na pia kusababisha barabara kadhaa zifungwe kwa ajili ya usalama wa wananchi na vyombo vya usafiri yakiwemo magari.