Michezo

Manara aapa Simba haitakubali kufungwa na Yanga mara mbili, si wameitaka Nusu Fainali (+Video)

Haji Manara aapa kwa msisitizo wote kuwa Mnyama #simbasc haitatokea kufungwa na #yangasc mara mbili.

“Si wameitaka Nusu Fainali, haitatokea #simbasc kufungwa mara mbili na #yangasc . Afe kipa afe beki… “- Kiapo cha Afisa Habari wa Mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara Haji Sunday Manara.

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents