Michezo
Manara afunguka ‘Simba mabingwa mwaka huu, mimi sijali mkinishambulia mnaniongezea jina tu’ (+Video)
Msemaji wa klabu ya Simba, Haji Manara amesema kuwa bila shaka yoyote mwaka huu wanaweza kuwa mabingwa wa ligi kuu soka Tanzania Bara huku akiongeza kuwa hakuna taasisi kubwa na yenye mashabiki wengi wengi zaidi ya timu yake na kamwe hatojali hata akishambuliwa kwakuwa jina lake linazidi kuwa kubwa.