Michezo

Manchester United ndio klabu ya soka yenye thamani kubwa zaidi duniani

Manchester United ndio klabu ya mpira wa mguu yenye thamani kubwa zaidi duniani baada ya kuchukua nafasi ya Bayern Munich, kwa mujibu wa kampuni ya Brand Finance.

One-Billion-main

Licha ya kutoshinda kombe lolote kwenye msimu uliopita, klabu hiyo ya Old Trafford imekadiriwa kuwa na thamani ya dola bilioni 1.2.

Barcelona, iliyoshinda kombe la mabingwa wa Ulaya Jumamosi iliyopita imeshuka nafasi mbili kutoka mwaka jana na kukamata nafasi ya sita kwa kuwa na thamani ya $773m.

Hii ndio orodha nzima (50)

Manchester United (Eng): $1206million

Bayern Munich (Ger): $933million

Real Madrid (Spa): $873million

Manchester City (Eng): $800million

Chelsea (Eng): $795million

Barcelona (Spa): $773million

Arsenal (Eng): $703million

Liverpool (Eng): $577million

Paris Saint-Germain (Fra): $541million

Tottenham Hotspur (Eng): $360million

Juventus (Ita): $350million

Borussia Dortmund (Ger): $326million

Schalke 04 (Ger): $302million

AC Milan (Ita): $244million

Everton (Eng): $228million

West Ham United (Eng): $209million

AS Monaco (Fra): $202million

Southampton (Eng): $183million

Galatasaray (Tur): $177 million

Inter Milan (Ita): $160million

Aston Villa (Eng): $155million

Newcastle United (Eng): $155million

Atletico Madrid (Spa): $151million

Napoli (Ita): $147million

Ajax (Ned): $145million

Stoke City (Eng): $140million

Swansea City (Eng): $135million

Bayer Leverkusen (Ger): $135million

Sunderland (Eng): $134million

Crystal Palace (Eng): $133million

Marseille (Fra): $129million

VFB Stuttgart (Ger): $121million

Fenerbahce (Tur): $120million

Celtic (Sco): $120million

AS Roma (Ita): $117million

VFL Wolfsburg (Ger): $116million

West Bromwich Albion (Eng): $115million

Lyon (Fra): $111million

Valencia (Spa): $107million

Benfica (Por): $103million

Hamburg (Ger): $103million

Leicester City (Eng): $102million

Sao Paulo (Bra): $95million

Werder Bremen (Ger): $88million

Borussia Monchengladbach (Ger): $86million

PSV Eindhoven (Ned): $86million

Sevilla (Spa): $81million

Corinthians (Bra): $79million

Lazio (Ita): $78million

Fiorentina (Ita): $76million

Vyanzo: www.mirror.co.uk & bbcnews.co.uk

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents