Michezo

Manchester United yatinga nusu fainali FA

Klabu ya Manchester United itacheza na Everton katika nusu fainali ya Kombe la FA kwenye Uwanja wa Wembley baada ya kuifunga West Ham United.

3325F1F700000578-3538663-Rashford_is_mobbed_by_his_Manchester_United_team_mates_after_bre-a-2_1460584246732

Marcus Rashford alifunga goli la kuongoza katika robo fainali hiyo dakika ya 54 baada ya kupokea pasi kutoka kwa Anthony Martial naye Marouane Fellaini alifunga goli la pili dakika 13 katika Uwanja wa Upton Park jijini London.

article-3538461-3327BC2100000578-740_636x382

Goli la kufutia machozi la West Ham limefungwa na James Tomkins

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents