Burudani
Maneno ya AY na Fid Q kwa Mavoko, Hatukuwahi kuwa na wasiwasi juu yake tuliamini atarudi tu na atafanya vizuri (+Video)
Wasanii wa muziki wa Bongo Fleva @fidq_words na @aytanzania walikuwa miongoni mwa watu waliojitokeza kwenye tukio la @richmavoko na walipopata nafasi ya kuongea walimshauri Mavoko maneno haya.
Mbali na @aytanzania na @fidq_words kupata nafasi ya kuongea pia @petitman_wakuache alipata wasaa wa kuuliza swali na ilikuwa hivi.
https://www.youtube.com/watch?v=xg8KubG0c3s
https://www.youtube.com/watch?v=wp-WdVniNSQ
https://www.youtube.com/watch?v=MJ0hUHUCg98