Burudani

Mangwea kukumbukwa kwa show maalum Dar, wasanii wamlilia

Wasanii wa muziki nchini, TID, Izzo B, Mirror, M2 The P pamoja na Billnass Jumapili hii ndani ya Maisha Basement watafanya show maalum kwa ajili ya kumbukumbu ya kifo cha msanii Albert Mangwea aliyefariki dunia Mei 28, 2013 akiwa nchini Afrika Kusini.
Mangwea

Aidha, wasanii mbalimbali kupitia mitandao yao kijamii, wameamua kutoa ya moyoni kuhusu kumbukumbu ya kifo cha Mangwea. Angalia maoni.

M2 The P

Pumzika kwa amani pacha wngu now nipo moro na bi .mkubwa #mama mangweah katika kuazimisha siku yko leo tumemaliza misa salamaa nakumic snaa pacha wngu

Mwana FA
Miaka mitatu leo..pumzika kwa amani Albert RAFIKI yangu…SURNAME YA FREESTYLE..wewe ni mfano halisi wa ‘wazuri hufa mapema’..

Dudu Baya

Albert mangwea.a.k.a mimi. Bongo Fleva imekumis sana.waliokuwa wanabania ngoma zako. Mungu alipotimiza wajibu wake (akakuchua) watu walizipiga sana ngoma zako, walikupamba sana. Uwezo wako ni mkubwa. hata leo tanzania inakukumbuka. Manguruwe nao wanakukumbuka wakiwa na aibu.r.i.p ngwear.

Mirror

Memorial of Ngwear… @maishabasement kesho we Miss you Fo real G.

Billnass

R.I.P Bro Tutakukumbuka Daima….Mpaka 2takapoonana tena….Cowbama

Kala Jeremiah

BONGE LA MSANII. PUMZIKA KWA AMANI BRO TUTAKUKUMBUKA DAIMA.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents