Habari
Manispaa ya Kigoma Ujiji kutokusanya ushuru, Mh. Zitto amuibua Polepole Bungeni (+video)
Mbunge wa Kigoma Mjini na Kiongozi wa Chama ACT- Wazalendo amesema kuwa Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma Ujiji haikusanyi ushuru, watendaji wamegoma kwasababu amri ya Katibu Mwenezi wa CCM, Humphrey Polepole. Naibu Waziri TAMISEMI ametoa majibu ya Serikali.