Videos
Mapenzi yasababisha mama kuchoma nyumba moto ili wafe yeye na wanae wakiwa ndani
Mama mmoja nchini Kenya ameichoma nyumba yake moto huku yeye wanae wakiwa ndani. Inadaiwa kuwa mama huyo aliwaambia watoto wake walale na wasiende shule huku lengo likiwa ni kuchoma nyumba moto wakiwa ndani ili wote wateketee kuepuka ugumu wa maisha baada ya kuachwa na mumewe.
Majirani walifanikiwa kuwaokoa baada ya kuona moshi mkubwa uliokuwa unatoka kwenye nyumba hiyo. Hata hivyo nyumba iliteketea.
Source: KTN