Burudani
Marlaw kufanya show nchi 5 za Ulaya
MWANAMUZIKI wa muziki wa kizazi kipya nchini, na mkali wa staili ya kiduku Marlaw anatarajia kufanya Tour katika nchi za bara la Ulaya kwa kufanya show katika nchi tano za bara hilo, ambapo ataondoka siku ya jumanne julai 26.
mwanamuziki huyo nchi ambazo anategemea kwenda kufanya show, kwa kuwafundisha staili ya kiduku ni Ufaransa, Uholanzi, Norway, Uswisi na Ujerumani.