Michezo
Masau Bwire kupoteza rundo la line zake, sasa kukutana na rungu la TCRA
Baada ya Serikali kutangaza kudhibiti umiliki holela wa laini za simu na kutaka mtu yoyote atakayetaka kusajili zaidi ya mbili kumlazimu kujaza fomu ya kutoa sababu za kutaka ya pili hivyo jambo hilo huwenda likamuathiri, Masau Bwire ambaye amezoea kutembea na zaidi ya simu saba zenye line kila moja.
Bwire ambaye ni msemaji machachari wa klabu ya Ruvu Shooting amekuwa na desturi ya kutembea na rundo la simu ambalo hutumia line nyingi zaidi.
Serikali kudhibiti umiliki wa laini za simu, ukitaka ya pili utaomba TCRA
Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Mawasiliano na Uchukuzi, Atashasta Nditiye aliyeeleza kuwa katika udhibiti huo watashirikiana na NIDA kupitia vitambulisho vya Taifa.
wamesema ukiandika barua unaruhusiwa kumiliki zaidi ya moja. . mi naona hakuna kitakacho haribika.
Hujaelewa,hiyo barua mpaka wakubali hizo sababu zako wakikataa bhas HUTORUHUSIWA
ukiandika cha maana wanakuelewa. . ukiandika Pumba, Utakosa haki zako za msingi