Michezo
Mashabiki Simba na Yanga washindwa kuvumiliana, kilichotokea nje ya TFF utacheka (+Video)
Mashabiki wa klabu ya Simba na Yanga wameshindwa kuvumilia na kupelekea kuatambiana nje ya geti la Ofisi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini TFF.