Lady Jay Dee

Mashabiki wapendekeza albam mpya ya Lady Jaydee iitwe ‘Nothing But the Truth’

Lady Jaydee leo aliwaomba mashabiki wake wamchagulie jina la albam yake mpya ambapo aliwataka wachague kati ya The Queen is Back na Nothing But the Truth. Mashabiki wake wengi wamependekeza jina la albam yake liwe Nothing But the Truth.

379217_10151250631875025_1519622430_n

Wiki hii Lady Jaydee ameachia wimbo wake mpya aliomshirikisha Profesa Jay, Joto, Hasira. Pia March 3, msanii huyo mkongwe nchini alimalizia kushoot video ya wimbo huo huku muongozaji akiwa ni Adam Juma.Tayari Joto, Hasira unapatikana kwenye mtandao wa itunes.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents