Burudani
Masharobaro waja Marapper
Anasema ataibua makundi makubwa mawili, ambapo moja ndilo hilo la Hip Hop ambalo kwa sasa linatamba na wimbo wa ‘Sisi na Maisha’ na lingine la kuimba linakuja kwa kasi, ila kwa sasa anajiandaa kuangusha kitu kingine kitakachokuwa pacha ya Yoyoo ila hii itakuwa Naniniii, ambayo ni mkono wake mwenyewe.