Burudani

Mastaa 20 wa Afrika wenye followers wengi Instagram

Nigeria na Tanzania ina mastaa wenye followers wengi zaidi kwenye mtandao wa Instagram barani Afrika.

Instagram

Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na Bongo5 na kupata mastaa 20 wenye followers wengi zaidi kwenye mtandao huo, Tanzania ina mastaa 9 kwenye orodha hiyo na Nigeria ina mastaa 7.

Orodha hiyo haijawajumuisha mastaa wa Afrika wanaoishi nje ya bara hilo akiwemo Akon na Lupita Nyong’o na badala yake imejumuisha wale ambao shughuli zao wanazifanyia hapa hapa Afrika.

Hii ndio orodha ya mastaa 20 wenye followers wengi zaidi kwenye mtandao wa Instagram (idadi ya followers ni kwa mujibu wa June 8, 2015.

1. @davidoofficial – 811k (Nigeria)

Davido_Post

2. @wizkidayo – 751k (Nigeria)

STARBOY_S-35

3. @diamondplatnumz – 711k (Tanzania)

10801561_859080697447079_764254085325920665_n

4. @wemasepetu – 652k (Tanzania)

wema

5. @donjazzy – 568k (Nigeria)

DON-JAZZY-11

6. @genevievennaji – 561k (Nigeria)

Nnaji

7. @ynonnenelsongh – 519k (Ghana)

yvonne

8. @millardayo – 514k (Tanzania)

millard

9. @iceprincezamani – 509k (Nigeria)

ice prince

10. @officialtiwasavage – 484k (Nigeria)

Tiwa

11. @vanessamdee – 473k (Tanzania)

vanessa

12. @jokatemwegelo – 470k (Tanzania)

jokate

13. @wolperstylish – 464k (Tanzania)

wolper

14. @zarithebosslady – 443k (Uganda)

zari

15. @minniedlamini – 426k (South Africa)

Minnie

16. @new_kajala – 424k (Tanzania)

kajala

17. @bonang_m – 416k (South Africa)

bonang

18. @shilolekiuno – 417k (Tanzania)

shilole

19. @ommydimpoz – 410k (Tanzania)

ommy

20. @peterpsquare – 402k (Nigeria)

peter

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents