Mastaa maarufu zaidi kwenye mitandao ya kijamii Tanzania hawa hapa!
Tunaishi kwenye dunia mpya ambayo mitandao ya kijamii inatawala. Licha ya kutuunganisha na marafiki zetu muda wote, mitandao ya kijamii hutufanya tufahamu mengi yanayoondelea duniani na watu maarufu huitumia kuwa karibu na mashabaki wao kwa kuwataarifu mipango yao mbalimbali.
Lakini kwa upande wa Tanzania, ni akina nani walio na mashabiki wengi zaidi kwenye mitandao ya Twitter na Facebook? Bongo5 imechunguza na kubaini hawa ndio walio na mashabiki na followers wengi zaidi.
1. Hasheem Thabeet – Mchezaji wa mpira wa kikaku kwenye ligi ya NBA katika timu ya Oklahoma City Thunder.
2.Flaviana Matata – Mwanamitindo na Miss Universe 2007
Followers 30,523
3. Zitto Kabwe – Mbunge wa Kigoma Kaskazini
Followers 28,440
4. Ambwene Yessaya aka AY – Msanii wa hip hop
Followers 23,030
5. Millard Ayo – Mtangazaji Clouds FM
Followers 20,601
6. Hamis Mwinjuma – Msanii wa Hip hop
Followers 19566
7. January Makamba – Naibu waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Technolojia
Followers 15,347
8. Nancy Sumari – Miss Tanzania 2005
Followers 15,172
9. Jokate Mwegelo – MnetAfrica/Channel O Vj, mbunifu wa mavazi na muigizaji
Followers 11,219
10. Diva Loveness – Mtangazaji Clouds FM
Followers 10,349
11. Salama Jabri – Mtangazaji wa TV na jaji wa BSS
Followers 10,364
1.Fareed Kubanda aka Fid Q – Msanii wa hip hop
Likes 37,583
2. Millard Ayo
Likes 26,806
3. Diva Loveness
Likes 21,786
4. Lady Jaydee
Likes 16,267
5. MwanaFA
Likes 12,040