Habari

Mastaa wa filamu waangua vilio Muhimbili wakisubiri mwili wa Mzee Majuto kutolewa mochwari (+video)

Tazama matukio mbali mbali yanayoendelea kwenye msiba wa Mzee Majuto ambapo asubuhi ya leo mwili wa muigizaji huyo mkongwe Tanzania unatarajiwa kuagwa katika ukumbi wa Karimjee jijini Dar es salaam na baadaye kusafirishwa kwenda mkoani Tanga kwa ajili ya mazishi.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents