Habari
Maswali matano ‘KONKI’ aliyoulizwa IGP Sirro na waandishi wa habari kuhusu kutekwa Mo Dewji (+Video)
Leo Ijumaa Oktoba 19, 2018 IGP Sirro ameongea na Waandishi wa Habari ambalo aliulizwa baadhi ya maswali matano likiwemo la CCTV Kamera kutokuonesha picha nzuri wakati MO Dewji anatekwa.