Michezo
Matokeo ya mechi zote za ligi ya mabingwa barani Ulaya
Ligi ya mabingwa barani Ulaya uliendelea tena usiku wa kuamkia leo kwa michezo kadhaa huku mchezo ambao ulikuwa ukitazamwa na wengi ni wa Sporting Lisbon na Real Madrid kwakuwa ulikuwa ni wa history kwa mchezaji Cristiano Ronaldo ambaye alikuwa anarejea nyumbani ambapo ndipo maisha yake ya soka yalipo anzia.
Mchezo huo uliisha kwa Madrid kupata ushindi wa 1-2.
Matokeo ya michezo mingine hii hapa