Michezo
Matokeo ya mechi zote za ligi ya mabingwa barani Ulaya
Ligi ya mabingwa barani Ulaya uliendelea tena usiku wa kuamkia leo kwa michezo kadhaa ya mzunguuko wa tano kuchezwa katika viwanja tofauti.
Mchezaji David silva ameithibitishia klabu ya Manchester City kuingia hatua ya mtoano kwa mara nne mfululizo kwa kutoka sare ya goli 1-1 dhidi ya Borussia Monchengladbach.
Matokeo ya michezo mingine hii hapa