Michezo

Matokeo ya mechi zote za ligi ya mabingwa barani Ulaya

Ligi ya mabingwa barani Ulaya uliendelea tena usiku wa kuamkia leo kwa michezo kadhaa ya mzunguuko wa tano kuchezwa katika viwanja tofauti.

3ab33ac300000578-0-image-m-6_1479937850833

Mchezaji David silva ameithibitishia klabu ya Manchester City kuingia hatua ya mtoano kwa mara nne mfululizo kwa kutoka sare ya goli 1-1 dhidi ya Borussia Monchengladbach.

Matokeo ya michezo mingine hii hapa

cx-k_yvwgaamfd3

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents